Hello Guest!Join NowLogin
LOVE POEMS & QUOTES
  Latest Posts   Live Tracker   Popular Posts   All Blogs   Drilldown   Tags   My Favorite Blogs   My Blog

Diane Ndikuriyo's blog

 

Nalia kwafuraha

Chorus:
Mbona wanitazama kisha waanza kulia
kama nimekukosea,naomba unisamehe.
Hapana hujanikosea,ninalia kwafuraha
Mapenzi unayo nipa sijawahi kupata.(2 times)

unaposogea karibu,unaponishika mikono
unaponitazama machoni,nashindwa kuvumilia.
Mapenzi unayonipa,sijawahi kupata
Najiuliza ni kwanini,hatukujuana mapema.
Nimeishi nawasiojuwa mapenzi,wasiojuwa hata kunyenyekea,nimeishi na wanaojuwa ku force
wasiojuwa ,hata kubembeleza.
Napokuwa na wewe,najiona ndiyo mwenyewe.
Hata kama sina pesa,najiona tajiri
Hata kama sijala,najiona nimeshiba.

BTC

Naomba mungu atjalie,tufunge ndowa mimi na wewe
Na watoto ,pia tuzae,
wakuite baba nami mama
Maisha yangu bila wewe,ni sawa na basi bila konda
Maisha yangu bila wewe,mbele sitosonga

Nabado,nabado,sijafika mwisho
na bado ,nabado sijamaliza kisabu
Ukivumilia maisha yangu,utakula vyakwangu
Mimi si wale wanaojisifu kwa ngono
Mapenzi si maneno ,mapenzi ni vitendo.
Nabado nabado,nimesema bado

BTC
bad
1
good
 
 

Comments

No comments so far.

Post a Comment

Please login to post a comment.

 
 
LoveLandia site is in BETA mode. Email us your reports & suggestions.
 
About | FAQ | Terms | Privacy | ContactCopyright © 2007 BoonEx. Powered by Shark 2.0b.
LOADING
PET:0.299201011658